Yesu, ulikufa msalabani
Ukafufuka kwa walopotea
Nisamehe dhambi zangu zote
Njoo uwe mwokozi wangu Bwana na rafiki
Badili maisha yangu yafanye upya
Nisaidie Bwana, nikuishie
Yesu, ulikufa msalabani
Ukafufuka kwa walopotea
Nisamehe dhambi zangu zote
Njoo uwe mwokozi wangu Bwana na rafiki
Badili maisha yangu yafanye upya
Nisaidie Bwana, nikuishie